[Cantiquest-Accueil | Mp3 | Cantiques-apprentissage-KAR | Hymnes et Cantiques | Autres cantiques | La Bible]
M’kungas mia kimpeve Lari
1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 10, 11, 12, 13, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21, 22, 23, 24, 25, 26, 27, 28, 29, 30, 31, 32, 33, 34, 35, 36, 37, 38, 39, 40, 41, 42, 43, 44, 45, 46, 47, 48, 49, 50, 51, 52, 53, 54, 55, 56, 57, 58, 59, 60, 61, 62, 63, 64, 65, 66, 67, 68, 69, 70, 71, 72, 73, 74, 75, 76, 77, 78, 79, 80, 81
Ta kundeno Tata Nzambi,
Yandi yalanga mu kedika,
M'tsamina wa beto bantu.
Tuizidi ga n'tarisiaku,
Nzambi ya luzolo lua luingi,
N'kumbuaku ya be buzitu.
{Nkembo, kue Nzambieto
Wasala m'toto nsi.
Alléluya ! Nkembo, nsangu
Kue Vukisi !
Alléluya ! Alléluya !}
M'tsamina wa Tata Nzambi,
Mfumu yi yokele mu m'lemvo,
Mu Muanandi wu ngengaka.
Mu lusakumunu luaku,
Bilundzi bieto mbo bi kunda
Nzambi, Tateto mu Yesu.
{Nkembo, kue Nzambieto} etc.
Nkundi, ta tangeno nkunga
Mu zangula Muana wa Nzambi,
Yandi Nzambi ya luzolo.
Mu lufua na zingu tsiaku
Wamonekesa m'lemvo Nzambi,
Wa zibula ndzila zulu.
{Nsangu, ngolo kua Nge,
Yesu Kivukisi.
Alleluya !
Nkembo, nsangu,
Kue Nge Mfumu ;
Alleluya ! Alleluya !}
Yesu, tambula nzitusu
Nge we ntangu ba sidi ntangu,
Nkunga wa bô bakakuka.
Mputa zaku za tu kûla,
Mpasi zaku za tu wasisa
Mu ba na zingu tsia mona.
{Nsangu, ngolo kua Nge, } etc.
Yesu, Nge kakudi tsieto,
Wa tugana, mu mpasi zaku,
N'kululu ya mankululu.
Mfumu, yokele mu nkembo,
Mu Nge beto tue na nungunu,
Lusakumunu na nsayi.
Vukisi tsia n'talu,
Zakalé ku zulu,
Nge wa mbote
Mu n'tsalulu.
Ta m'kundeno,
Ta m'sikeno
Mu mvu ya mvu..
Nkembo kue Tata Nzambi ! (x2)
Wa kubika ku zulu
Kiandu kia kondo kue mbazi.
Mvukulu mu Nge yena, (x2)
Matondo masakila,
Zola, nsangu, kue Nzambieto.
Nkembo kue Muana meme ! (x2)
Wa bonga buka tsieto
Ga kulunsi, mu tu kula.
Satana ba mu nunga, (x2) ;
Yesu, Kakudi tsieto,
Kue Nge tu tâ gana nkembo.
Nsangu kue Yesu Kristo ! (x2)
Kue Nge ngolo, buzitu,
Kue Nge kimfumu na nkembo !
Ntangu ba sidi ntangu, (bis)
Ta kembeleno Nzambi,
Wa tu tambudi mu Yesu.
Mu luzolo lua Tata Nzambi,
Tu kutakané mu Yesu ;
M'nua mieto mbo mi sakumuna
Luzolo lua kondo nsuka.
Nkembo kua Nge, Tateto Nzambi !
Nkembo kua Nge m'kua luzolo !
Bala baku baua kakula mu m'bi
Bakumbisi nkumbuaku ye nsangu.
Ntete Nge wa sala m'toto nsi
Wa kubika buka tsieto
Ga luse luaku ku mazulu
Mu nkembo wu lembo suka.
Nkembo kua Nge, Tateto Nzambi !
Nkembo kua Nge m'kua luzolo !
Bala baku baua kakula mu m'bi
Bakumbisi nkumbuaku ye nsangu.
Dzunu, bimvuama bia kuzulu
Biena bia beto mu Yesu.
Ntangu ya mbila ya kimpuanza
Ni yawu yo, kubameno !
Nkembo kua Nge, Tateto Nzambi !
Nkembo kua Nge m'kua luzolo !
Bala baku baua kakula mu m'bi
Bakumbisi nkumbuaku ye nsangu.
Tata ! Lundzi tsia bala baku
Tsi fukamane mu kunda
Bunene bua luzolo luaku,
Ah ! Yesu Kristo, sa m'sualu !
Nkembo kua Nge, Tateto Nzambi !
Nkembo kua Nge m'kua luzolo !
Bala baku baua kakula mu m'bi
Bakumbisi nkumbuaku ye nsangu.
Ta tangileno Nzambi nkunga
Mu wakasa nsangu zandi.
Nzambi ya luzolo, ya dzunu,
Wa zibula ndzila zulu.
Bueso bua buingi ka tu geni,
Beto mbangi zé na zingu.
Mu ntsakati ta kumbiseno
Nzambi Tateto mu Yesu.
Bilundzi bieto bi zangudi
Nzambia Mpungu we na zola.
Tu tsigeni mu m'tima mieto
Kue Nge na tê mu mvu ya mvu.
Ngolo, zola, m'lemvo na ngangu,
Bi vukane mu Nzambieto.
Ntsiangu dibundu die na vuvu
Mu zingu tsia mankululu.
Nkembo kua Yesu Kristo,
Muana wa mosi wa Tata.
Mu tu kakula mu m'bi
Yandi wa kôka ga m'toto !
Mfumu Yesu! Kembosua
Buabu te mu mvu ya mvu,
Mfumu Yesu! Kembosua
Buabu te mu mvu ya mvu.
Muana meme wa n'longo,
Wa fua mu lufua lua mpasi ;
Ga manima wa nunga
Mpiema mu ngolo za Nzambi,
Wa manisa lulendo
Lua lufua na lua m'tantu,
Wa manisa lulendo
Lua lufua na lua m'tantu.
Nge tomono tu zolo.
Wa nua mbungu ya luvuezo,
Mu gana kue bilandi
Mbungu ya lusakumunu ;
Mfumu Yesu ! Kembosua
Buabu te mu mvu ya mvu,
Mfumu Yesu ! Kembosua
Buabu te mu mvu ya mvu.
Kembeleno mu dibundu,
Yesu zololo bantu !
Wa tsi gana mu tu kula,
Beto, Yesu tu vuidi.
Ntantama mbo ka kotesa
Bimeme biandi mu nzo
Ya Tata Nzambi, mu nkembo:
Mu ba neto kintuadi.
Nkembo kue Mfumueto Yesu !
Mpasi zeto mbo zi wa,
Bu tu kota ku mazulu
Ku lembolo bidzilu.
Mu mvumbukulu ya nitu,
Mu zingu tsi lembo wa,
Dibundu mbo di zangula
Muana meme wa n'longo.
Kembeleno mu dibundu,
Yesu kakudi tsieto.
Yandi zebi mpasi zeto :
Mu m'timandi beto tue.
Ntangu ni mu diata yena,
Ta beno tsiana Yesu ;
Ta luateno buderede
Mu zitisa Mfumueto.
Kue yandi wa tu sukula
Mu menga mandi ma n'talu,
Kimfumu tsi yokele nkembo !
Muana meme fuanakane
Mu tambula nsangu, ngolo,
Nzitusu, mayela na ngangu,
Nzitusu, mayela na ngangu.
Yesu Kristo fuani tsia Tata Nzambi !
Muana Nzambi, mbazi mbo zi m'kunda...
Nkembo kua Nge ga m'toto nsi wa bantu,
N'sangu kua Nge wa lungisa m'tsieno.
Nge wa sisa kimfumu kia mazulu.
M'kaïluaku wa kumbisa Nzambi ;
Buderede, bulongo, na luzolo,
Kulunsi dia Yesu dia songa bio.
Wa nanguka, mu ngolo zaku Yesu,
Ku mazulu, mu kota mu nkembo ;
Tu ku muini mu nkembo wa wu nene,
Nge, Muana muntu, wa nunga lufua.
Nkembo kua Nge wa nata mpu ya nsende ;
M'tima mieto, mi bambuka mpasi...
Mfumu Yesu! Lufua luaku lua mpasi,
Nkembo, nsangu, nzitusu kua Yesu.
M'lemvo na nkembo kue Nzambi bie,
Nzambi, ya luzolo ! Luzolo lua n'talu
Nkumbuak'ya be nsangu mu mitima mieto;
Nsayi kue bô basidi vuvu, (x2).
Wa tu gana kabu dia m'lemvo
Di tu gana dzunu, dzunu mu mitima ;
Nsayi yi yokele : ndzila ya zibulu
Ga luse lua Tateto Nzambi, (x2)
Kue beto nkembo wa mvu ya mvu,
Ku mbanza ya nkembo : kue Yesu kimfumu.
Mbo tu ba na Yesu, mu nsayi, mu kiese ;
Beto, mbutu za buta Yesu, (x2).
Nzambi ya m'lemvo na ya nkembo,
Nge zololo bantu ba wa gana Mpeve ;
Tuizidi mu kunda, mu nkumbu ya Yesu,
Kakudi tsieto mu masumu, (x2).
Jina lako lisifiwe, Neema yako
Iliyotujia katika uzuri
Tulikuwa gizani sasa uso wako
Waleta mishale ya nuru mioyoni.
Tupo wana wako, jina nzuri la Baba
Latujaza heri, hakika, amani
Roho wako mhuri, mwangaza na Mwalimu
Na karibu nawe tumekubaliwa.
Ni mapendo yako, kifo, uhai wako
Vilivyotuletea hii sehemu
Kila moja wetu asisahau kamwe
Kwamba tulitakaswa ili tumukuze.
Ukamilifu usiyoweza kusemwa
Wa uwezo, mapendo, hakiba’siyokwisha, – isiyokwisha
Mwana wa Mungu milele !
Utukufu wa mbinguni
Kwa amani yako, Kanisa lako pe ndwa
Lainama kuabudu (ter)
Wakaa ee Yesu, kwa kuume kwa Baba
Ukivikwa uwezo, nuru, utukufu – na utukufu
Mungu wetu (bis)
Mioyo zetu (bis)
Yainama mbele yako kwa kutii
Pia kukuinua (ter).
Mbinguni kwa kiti cha Baba
Twakuona ee Mwokozi
Pumzikoni vile nuruni
Una uwezo na ku’ngaa
Kazi ya neema imekwisha:
Umekaa patakatifu ;
Juu utukufu umepewa
Watawala juu ya vyote.
Twashinda kwa ushindi wako
Yesu Mwokozi muweza,
Juu katika utukufu
Umetangulia wako !
Tuna tumaini la mbingu,
Linalokutegemea
Tuna uhakika wa roho
Ni Musingi wa imani.
Sifa kwa kichwa cha kanisa!
Bibi arusi mupendwa
Pande zako punde atakaa,
Akibariki milele
Wewe Bwana mwenye uzuri
Tutakaofurahia,
Na pendo lako la ajabu
Litakuwa siku zote.
Mungu wa pendo na neema!
Twafurahi kukutana
Mbele ya uso wako mzuri
Kuabudu na kubariki
Na Katika salama yako
Kweli Upewe ibada,
Iletayo mashukurani,
Marashi : jina la Yesu.
Bwana ingia nafsi zetu
Na wema wako wa ajabu,
Utuwashie moto wako
Wa pendo lako Ee Bwana ;
Ndipo sifa zitatokea
Mioyoni mwetu kwa Roho
Ili tuimbe rehema zako
Na pendo ndani ya Yesu.
Tunapenda kuketi pale
Twawekwa na kazi yake
Na tunafuata nyayo zake,
Hadi mbinguni alipo
Ni pahali patakatifu
Ambapo mlango ni wazi
Sifa za waamini zapanda
Kwako kupitia Yesu
Umoja wa Kanisa wapendeza
Bwana Yesu, wakufurahisha
Kwa kulipenda ulijitolea
Wataka liwe nawe mbinguni
Roho yako Yesu yatukusanya
Karibu nawe katika pendo
Heri gani kukuabudu pamoja
Twatangaza kufa na kurudi
Ni kutamu ndugu wakikuabudu
Roho wako akiwa kiongozi
Katika nyimbo na maombi yetu
Tunayokutolea pamoja.
Ni kweli palipo uwepo wako
ukileta uhuru moyoni
kila mwamini katika amani
asikia nguvu, uhakika.
Na Itakuwaje kwa mukutano
Mbinguni kanisa litakuona
Furaha gani isiyo na mwisho
utukufuni likikuabudu.
Ulitualika, tena kwa siku hii
Mwokozi Muabudiwa ili tulishwe
Katikati ya jangwa, wajenga meza hii
Kumbusho la pendo lako (bis).
Kando yako, Bwana,kanisa lazunguka
Kukumbusha kifo chako hadi urudi,
Twavunja mukate, tunakunywa kikombe,
Kumbusho la pendo lako (bis)
Uovu wetu ulikulemea kichwani
Mzigo wa uchungu na muzito sana;
Lakini kwa amani, tunasherekea
Kumbusho la pendo lako (bis)
Tukionja mkate huu, na kinywaji hiki
Vinaelekeza macho yetu juu.
Na Punde tutamaliza safari yetu
Tutatambua u pendo (bis)
Asante Yesu, Mwokozi na Mwaminifu!
Bila kivli tutakuona mbinguni
Na tutatukuza, kwa sifa ya milele,
Ukubwa wa pendo lako (bis)
Mbele ya kiti cha baba
Akaapo kwa heshima
Jicho letu latazama
Uzuri wako Bwana
Utukufu ulio nao
Ndani ya ku’ngaa kwako
Watuangazia kweli ndani ya mioyo yetu
Kungaa kwa uso wako
Siko kuvutiapo tu
Kwani neema yako kubwa
Yaangaa usoni mwako
Kwa neema ulishuka
Duniani mwa uasi
Ulipotuchukulia maovu hata zambi
Nafsi yashangaa sana
Juu ya upendo huu
Ulio mukubwa sana
Hauna hata mpaka
Hivyo sisi twatamani
Kurudi kwako hapa
Ili tuone, tutamke
Makuu ya pendo lako.
Tukaribie na kwa nyimbo zetu
Mwana Kondoo mupendwa akuzwe
Alishinda na alifufuka
Tutangaze makuu yake yote
Sisi wenye : kupendwa na Kristo (bis)
Alitufilia kama sadaka
Tukapokea upendo wake
Kwa kutuokoa katika giza
Alikubali fimbo za uhaki
Akafanywa : chukizo, laana (bis)
Twakuabudu sadaka ya toleo
Wewe ulitununua sisi
Tukumbushapo kifo, mateso
Tunangoja siku yakuonekana
Mbinguni : kama bibi arusi (bis).
Tunasherekea kwa meza hii
Pendo la Kondoo uliyechinjwa
Kwako roho zetu zinalindwa
Zikionja salama na uheri
Na kwa bei ulivinunua : ulivinunua (bis).
Mbele ya kiti cha neema
Twakuabudu Mungu wetu
Tukiingia patakatifu
Kwa njia ya Yesu Kristo.
Mkate wa juu ushibishao
Ni chakula chetu kweli
Ndani ya Yesu tumepewa
Uzima unaodumu.
Pa’li pa kikombe kikali
Ulichomunywesha, Mungu
Mwokozi mwema na mupole
Ametupa cha wokovu.
Kwa sauti ya malaika
Tukinyakuliwa juu
Tutamuimbia sifa zake
Tutamuona… siku nzuri !
Yesu sadaka ya Mungu
Ulishuka duniani
Ukafunga ile shimo
Itutengayo naye.
Ukavaa mwili wa mutu
Ukateswa kabisa ;
Kwa Kuokoa kiumbe
Ukapata uchungu.
Ni wewe hekima yetu
Uhai na salama
Kimbilio kwa mateso
Wokovu wa milele.
Ee Mwokozi mwaminifu
Twabaki ndani yako
Hadi uzima milele
Waishi tutaishi.
Kwa kutuokoa, Bwana wa uzima
Alisumbuliwa na kuaibiwa
Sifa kwake Mwana
Sifa kwako Kondoo
Pokea mioyo yetu, mshahara wako
Ulioupewa, kwa mlima kalvari.
Kifo chako Yesu, kikaosha zambi
Ukafunga shimo kwa miguu yetu
Sifa kwake Mwana
Sifa kwako Kondoo
Twakusifu Bwana, ulitupa amani
Heri, ukombozi kwa mateso yako.
Kututajirisha, mwenyewe mbinguni
Ukawa maskini, wewe Mungu mkubwa
Sfa kwake Mwana
Sifa kwako Kondoo
Pokea mapendo na heshima zetu
Viwe kwako Mungu pasipo mwengine.
Mema ya pendo lako Mchungaji wetu
Unatuandalia meza kila siku
Sifa kwake Mwana
Sifa kwako Kondoo
Wapendwa wako Bwana wanafurahi
Wakionja pendo na matunzo yako.
Kwa amani twafwata uriti wetu
Wewe ni sehemu yetu kwa milele
Sifa kwake Mwana
Sifa kwako Kondoo
Mukombozi Mungu, unayetupenda
Upewe nguvu, ufalme na heshima.
Milele na milele tutakusifu
Pendo lako kubwa na ushindi wako
Sifa kwake Mwana
Sifa kwako Kondoo
Pokea mioyo yetu, mshahara wako
Ulioupewa, kwa mlima kalvari.
Nani atatukuza, nani atatambua,
Pendo lililokushusha toka mbinguni
Kwenda Getsemane,...Golgota ya damu
Pale ulipochomwa mkuki na Mungu.
Siyo wale, Bwana, majeshi wa mbinguni,
Ama vile vyote ambavyo uliumba
Ama urefu wa bahari na mbingu,
Vitakavyotukuza upendo wako.
Yesu ! Pendo lako na neema yako nzuri,
Nani atavikuza ? ni sisi waovu tu
Uliofanya wafalme, makuhani,
Kwa ajili yao ulionja kifo.
Wakombolewa tu, kwa raha takatifu,
Wataimba wema wako na kubariki.
Uliwanunua, Ee Yesu, kwa damu
Watakuwa nawe milele mbinguni.
Twakuona ukiangaika
Ukinywa kikombe kile
Tunakuona ukijitoa
Mtakatifu kwetu waovu.
Kifo chako sadaka safi
Tukitazame daima
Damu yako ilituosha,
Ikatufungulia mbingu.
Pendo lako ni kubwa Kristo
Linagusa mioyo zetu
Ulifilia ulimwengu
Wewe ndiye Mwokozi wetu.
Kama Kondoo ulikufa, Yesu
Kwa zambi zetu, Mukombozi wetu
Pendo gani ? ni pendo la ajabu
Kwa kutuokoa, Yesu ukafa.
Kwa ule wakati zambi zetu
Zilikuletea azabu kali
Kwa kufa ukavunja minyororo
Ukatuletea neema, raha.
Amen ! Bwana ! Uwezo na sifa
Kwako heshima, hekima, ufalme
Tangu sasa tunasema na wewe :
Ubarikiwe Ee Mukombozi.
MwanaKondoo uliteswa
Ukachukua taabu yetu
Na ukatufanya kwa Baba
Wafalme na makuhani
Pamoja tunakuheshimu
Twakusifu na kukuinua
Nguvu, ufalme pia kutii
Mioyoni tunakuabudu
Amen ! Amen ! Bwana ! Amen.
Twakuona utukufuni
Ee Mwokozi !
Tukionja ushindi wako
Mwenye nguvu
Milele pamoja na Mungu
Kwa kuume kwa Baba Mungu
Uliyeshuka duniani
Na upole.
Kwa sisi ukawa laana
Ee Mwokozi !
Ukateswa zaidi sana
Ee Mwokozi !
Damu ’katoka mbavu zako
Ukatuondolea zambi
Kwa kufa kwako tunaishi
Ee Mwokozi.
Tunakungoja toka mbingu
Ee Mwokozi !
Ulisema waja kututwaa
Yesu mweza !
Furaha isiyo na mwisho
Yakutazama sura yako
Na vile yakukufanana
Ee Mwokozi.
Yesu, neema, damu yako
Na musalaba wako
Kungaa kwa uso wako
Vyatupatia haki
Nafsi yetu yapumzika
Ndani yako Mwokozi
Wewe mwanzo na chemchemu
Ya uheri milele.
Katupenda mpaka kufa
Mwokozi wa mapendo
‘Katushindia shetani
Hadi kwa ngome yake, (bis).
Namna vilikulemea
Pekee kwa saa ya giza
Kuachwa pia na hofu
Ya zambi zetu nyingi, (bis).
Sasa fujo ya mawimbi
Yaliyokufikia
‘katuletea pumziko
Ya kazi yako nzuri, (bis).
Kando yako wateule
Wako hapa duniani
Sasa wanaonja raha
Ya nyumba yake Baba, (bis).
Kondoo wa Mungu Kristo akafa
Mutini (bis)
Pazia pale ’kapasuka
Kwa muti (bis)
Kwa patakatifu sana,
Mbele ya Mungu twafika
Kwako Yesu uliyejitoa
Mutini (bis)
Uliinuliwa toka chini
Mutini (bis)
Ulikunywa kikombe chetu
Mutini (bis)
Kwa pendo ‘kakimaliza
Damu yako ilituosha
Tumeokoka kwa milele
Kwa muti (bis)
Hayani sifa zako ‘kangaa
Mutini (bis)
Yesu uliupata ushindi
Mutini (bis)
Milele upewe nguvu,
Heshima na sifa nyingi
Kwa sababu ulishinda
Mutini (bis)
Nyimbo za mbinguni
Ni nzuri sana
Vinanda na nyimbo
Jaeni mbingu
Kwa nafasi kubwa,
ule wimbo mpya
Daima waanza
Kando ya Kondoo.
Kwa kiti cha enzi
Tutakuona
Ukivikwa taji
Za kila aina
Na mikono yako
Inaonyesha
Ginsi uliteswa
Kwa musalaba
Neema ya milele!
Uliye chinjwa
Ukajitolea,
‘Kamwanga damu
Kwa patakatifu,
Uheshimiwe
Mungu Baba yako
Aabudiwe.
Nyimbo za mbinguni
Ni nzuri sana
Vinanda na nyimbo,
Vyajaa mbingu
Heshima na nguvu,
Kuzo milele
Kwa Mungu mushindi,
Na Kondoo wake.
Mwana wa Mungu, wa ajabu
Waonekana usoni
Upendo muzuri wa Baba
Hata sifa zake nyingi
Washika dunia mkononi
Uliitosha utupuni
Vyote vinaimba Hekima,
Na kuzo lako Muweza.
Mbele ya Baba kifuani
Wamupendeza daima
Mupo mumoja uwezoni
Mupo mumoja pendoni
Ulipenda, siri ya ajabu
Kutoka patakatifu
Kuja dunia yenye zambi
Ili ufe Mwana Kondoo.
Upendo, neema ya ajabu
Twakuona Mutu, Mungu
Kwa sanduku hadi kalvari
Ukifwata njia chungu
Mugeni, ulikataliwa
Hata na walio wako
Ukanywa kikombe kichungu
Shambani mwa Getsemane.
Ukabeba, Mwana Kondoo
Kwa saa za giza mutini
Hukumu ya makosa yetu
Pia gazabu ya Mungu
Ee Bwana tutakutukuza
Milele kule mbinguni,
Na roho zetu zitaimba
Pendo lishindalo kifo.
Yesu rafiki yetu mkubwa
Pendo gani !
Atupenda kushinda ndugu
Pendo gani !
Jamaa, rafiki, wanapita
Heri yaja na kutoweka
Moyo wake tu hauchoke
Pendo gani
Yu uzima wetu milele
Pendo gani!
Na kwa milele tutukuze
Kazi yake !
Kwa damu yake tumeoshwa
Alipotukuta jangwani
Kwa neema akatuokoa
Pendo gani !
Alijitoa kama zabihu
Pendo gani!
Anapenda kutubariki
Pendo gani!
Nafsi yetu imusikie
Kwa amani, kamwe, isiogope
Iishi karibu na Yeye
Kwa upendo.
Kazi ya milele, tutakapo pumzika
Bila mwishowako watakuabudu
Wakitupa taji juu ya miguu yako
Wakistaajabu na watainama, (x2).
Tutautazama uso wa Muabudiwa,
Uzuri wa Mwokozi, Bwana Arusi
Na tutavumbua fumbo isiyopimwa
Ya neema na mapendo bila mpaka, (x2).
Kwako pekee Yesu, kwa nuru yako nzuri
Wewe jua la haki liangazalo
Kanisa litavaakatika utukufu
Nuru safi ya ukamlifu wako, (x2).
Utaona pekee lile unalotaka !
Tunda kamili la kazi ya msalaba
Utafurahia kazi ya nafsi yako
Mapendo yako Mungu yatatosheka, (x2).
Twaishi kwako, chemchemu njema
Tufurahie nuru yako
Kukuona mbele ya Baba
Yesu, pumziko ya roho yetu.
Mungu alitutolea Yesu
Na kwake akaleta amani
Akapendezwa na uhaki
Deni yetu kweli imelipwa.
Tuna heri, Bwana wema wako
Umetufungulia mbingu
Na mukristo kwa utulivu
Aingia kwani ameokoka.
Kwa nini tusikupende Yesu ?
Uliyejitolea kwetu
Wewe ambaye pendo lako
Laja kila siku mbele yetu.
Watufunza, watufariji
Yesu ukiwa mbinguni
Kwani Roho na neno Lako
Vyabaki na wateule.
Twasikia sauti yako
Kupitia neno Lako
Roho wako hufahamisha
Agusa moyo na macho.
Kumbukumbu La pendo Lako
Lafikiawalio wako
Katika Jangwa watukuzwa
Twaonja mema ya mbingu.
Hilini Neno La uzima,
Kama tunda La Eskoli
Linalotupatia nguvu
Jangwani tulikulapo.
Muda kitambo kazi yake
Itakwisha kwa kundi hii
Tutakapo kuona nuruni
Tutazungumuza nawe.
Yesu, Nguvu, Mwamba wangu
Mwokozi wangu mkuu
Adui hawataweza
Nikilindwa nawe.
Kwa Neema ulinisamehe
Umenipa mbingu
Ninazungukwa na nguvu
Imani yatosha.
Wewe ndiye Mukombozi
Na mwenye upendo
Wewe ni uheri, sifa
Na Mwokozi wangu.
Neno lako ni aminifu
Bwana halipite kamwe
Nafsi yangu iliaminiyo
Haitaogopa tena.
Ninajuwaee wazo nzuri
Miongoni mwa kondoo zako
Hakutapotea yoyote
Mchungaji uliahidi.
Wana wa pendo lako kubwa
Tupokifuani mwako
Hata dunia na kuzimu
Havitatutosha kwako.
Bwana wangu mwema
Uliniponya
Nipo mushahara
Kwa kazi yako
Nilikuwa mnyonge
Sasa ni wako
Neema yako nzuri
Kaniokowa.
Chunga kwa rehema
Nafsi milele
Katika furaha
Na usalama
Unishike mkono,
Nisilegeye
Nichunge daima
Karibu nawe.
Ni ndani ya Mungu
Kwa tumaini lote
Mioyo yapumzika
Uvumilivu wako,
Rehema yako kubwa
Vinanionyesha
Matunzo ya pendo.
Ni kutamu kwangu !
Kuwa wewe ni Baba
Yu nami popote
Waniangazia neema
Wapokea maombi
Unanitazama,
Wanipa imani.
Salama na pendo
Furaha kamilifu
Ni vyangu milele
Naona mbele yangu
Njia nzuri ya raha
Ni ya utukufu
Yaenda mbinguni.
Bwana niongoze
Ukinishika mkono
Linda nyayo zangu
Mungu kwa pendo lako
Nguvu, hekima yako
Vinatuzunguka
Ni msaada wa nguvu.
Nikufikilipo Bwana
Pia neema yako
Moyo wangu wafurahi
Kwani utakuona, (x2).
Hata kama ninachoka
Ninasonga mbele tu
Kama mahali pakavu
Kunakoota miiba, (x2).
Hata adui ni wengi
Kwa kunishambulia
Kwa mitego ya hatari
Wanizunguka sana, (x2).
Ninaweza kila siku
Kufuata njia yako
Na kwa pendo lako kubwa
Kuonja lifaalo, (x2).
Bwana, pumziko na Mwamba
Wokovu, haki yangu
Wanikaribia mimi
Wanipendeza mimi, (x2).
Yesu, Mukombozi wangu
Nijaze uhodari
Wezesha mtumishi wako
Akuwe mwaminifu, (x2).
Hadi siku wateule
Washindi ndani yako
Wakivaa kanzu nyeupe
Watakuona kuzoni, (x2).
Tumutazamie Yesu,
Bado kitambo Mwokozi
Atarudi toka mbingu,
Katika kungoja kwa heri
Nafsi zetu ziwe tayari
Tuwe macho, tusilale
Wakristo, Mwokozi aja.
Kamwe sitapungukiwa
Kwani Bwana ni Mchungaji
Ninaishi chini ya gongo
La asiyebadilika
Kweli Yesu ulinitia
Miongoni mwa kondoo zako.
Ulinipa salama yako
Najua ulinipenda
Nikipita katika moto
Najua sitaungua
Macho yako ni juu yangu
Ongoza yangu juu yako.
Bwana nikukaribiapo
Sioni woga yeyote
Neema yako ni mwamba mkubwa
Kimbilio haki kwangu
Ulinishika mkononi
Shetani hata nitosha.
Tufurahi wakristo, (bis) ;
Bado kitambo Yesu,
Ndani mwetu atatukuzwa
Bwana utarudia, (bis)
Tutakutana nawe
Na tutaishi ushindi.
Siku gani tutaona
Kanana ya mbinguni ?
Juu ya mbingu mwasikia ?
kristo anatuita.
Na tutaishi naye,
zoruba itakoma
Tutaimba kwa milele
wimbo wa salama.
{Heri kamilifu, Uheri, uheri
Heri kamilifu, Pumziko ni Bwana
Kanisa litakapokusanyika mbinguni
Litaimba bila mwisho :
Sifa kwake Kondoo.}
Wateule wataona,
utukufu wa Kristo
Wakiwa wamefufuka,
watamshuhudia
Wakisifu ushindi,
kazi ya musalaba
Pamoja kando ya kiti,
tutampa naziri.
Kama kule juu mbinguni,
mwenye zambi akitubu,
Malaika kwa umoja,
wabariki Bwana
Itakuwa furaha,
wakati kundi lake
Litakapo kombolewa,
nakushinda vyote.
Kanana ni fasi nzuri,
Ni inchi ya ahadi
Tukikusanywa na Mungu,
kwa upendo wake
Tutaimba milele
wimbo wa kufurahi
Utasikika mbinguni,
Milele daima.
Siku hiyo ya milele,
itaangaa asubui
Sote katika umoja
Na mapendo pia
Na tutasema tena
Na yule Muabudiwa :
Mwana Kondoo astahili
nguvu na mamlaka
{Heri kamilifu, uheri, uheri} etc.
Ta landeno Mfumu Yesu
Mu ndzila ya sinuku.
Yandi wa lungisa m'tsieno
Mu nsalulu za mbote ;
Tuendeno kue Mfumu Yesu
Mu diata mu kedika,
Ndzila mpfinka, ndzila zingu
Tsilembo wa mu Yesu.
Nsayi kue bala ba Nzambi :
Ba ngâ luwilukulu ;
Bawu ba vutu butuka
Mu mambu na mu Mpeve.
Nzambi mbo ka gana lenda
Kue bilandi bia Yesu
Mu bika bifu bia ntama
Mu diata mu busantu.
Ntontolo ze ga m'toto nsi :
Nkundi ta sikameno.
Mu ntangu ya mpfietokoso,
Ta landeno Vukisi ;
Ta luateno binuanunu
Mu kambidila m'tantu,
Mu landa ndzila ya Nzambi,
Mu ntsalulu za mbote.
Nsuka ya ndzila ya Nzambi
Ku gata dio dia nkembo,
Kuna ku ngenga tsidzidi
Tsia Yesu, Muana Muntu.
Mu nkembo, ga ntadisiaku,
Mbo tu ku kunda Yesu ;
Mbo tu tsituka ntsiana Nge :
Mbo tu ba mpila mosi.
Mfukamane ga malu maku,
Ntsiana Marie, mu longoka ;
Mu dzunu tsie ni dingi dingi,
Yesu ndzololo na ku wà.
Mfukamane, ndzié mu bunsana,
Mu ntontolo na mu mpasi ;
Bomba m'timani : ku ntindisa,
Ku nkusuna mansangaza.
Mfumu Yesu, ga malu maku
Ndzololo ba, mu ku kunda
Kintuadi na mbazi za zulu :
Nzangudi Muana wa Nzambi.
Mfumu, bonga m'kaïlu mieto
Mi tukidi kunsia m'tima :
M'dingi we na nsunga ya mbote,
Wu bele mu ngula yuki.
Nkembo, ngolo, kue Nzambieto,
Buzitu bua mvu ya mvu ;
Ta vutuleno matondo
Kue Yesu Kivukisi !
\Ba ku luika mpu ya nsende,
Menga maku ma ntalu
Ma tsamuka ga kulunsi,
Nzambi buka ku semba.
Mpasi, kue Nge Yesu Kristo,
Mu bukaka bua lufua :
Mu kakula beto bantu,
Mu tu gana mvukulu.
Nkembo, ngolo, kue Nzambieto,
Buzitu bua mvu ya mvu ;
Ta vutuleno matondo
Kue Yesu Kivukisi !
Tembo tsia mana pupa
Mu mitima mieto,
Mu katula kidzunu,
Beto wônga pele ;
Tu kadidi bunkuta,
Bungu mu Yesu tué :
Gakimosi na yandi,
Mbo tu nunga m'tantu.
Zingu, ga meso meto,
Ntsiana ku mpimpa tsié ;
Nge