[Cantiquest-Accueil | Mp3 | Cantiques-apprentissage-KAR | Hymnes et Cantiques | Autres cantiques | La Bible]

 

M’kungas mia kimpeve Lari

1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 10, 11, 12, 13, 14, 15, 16, 17, 18, 19, 20, 21, 22, 23, 24, 25, 26, 27, 28, 29, 30, 31, 32, 33, 34, 35, 36, 37, 38, 39, 40, 41, 42, 43, 44, 45, 46, 47, 48, 49, 50, 51, 52, 53, 54, 55, 56, 57, 58, 59, 60, 61, 62, 63, 64, 65, 66, 67, 68, 69, 70, 71, 72, 73, 74, 75, 76, 77, 78, 79, 80, 81

 

1.                       M’kunga 1

M’kunga 1 — buku 1

Ta kundeno Tata Nzambi,

Yandi yalanga mu kedika,

M'tsamina wa beto bantu.

Tuizidi ga n'tarisiaku,

Nzambi ya luzolo lua luingi,

N'kumbuaku ya be buzitu.

{Nkembo, kue Nzambieto

Wasala m'toto nsi.

Alléluya ! Nkembo, nsangu

Kue Vukisi !

Alléluya ! Alléluya !}

M’kunga 1 — buku 2

M'tsamina wa Tata Nzambi,

Mfumu yi yokele mu m'lemvo,

Mu Muanandi wu ngengaka.

Mu lusakumunu luaku,

Bilundzi bieto mbo bi kunda

Nzambi, Tateto mu Yesu.

{Nkembo, kue Nzambieto} etc.

2.                       M’kunga 2

M’kunga 2 — buku 1

Nkundi, ta tangeno nkunga

Mu zangula Muana wa Nzambi,

Yandi Nzambi ya luzolo.

Mu lufua na zingu tsiaku

Wamonekesa m'lemvo Nzambi,

Wa zibula ndzila zulu.

{Nsangu, ngolo kua Nge,

Yesu Kivukisi.

Alleluya !

Nkembo, nsangu,

Kue Nge Mfumu ;

Alleluya ! Alleluya !}

M’kunga 2 — buku 2

Yesu, tambula nzitusu

Nge we ntangu ba sidi ntangu,

Nkunga wa bô bakakuka.

Mputa zaku za tu kûla,

Mpasi zaku za tu wasisa

Mu ba na zingu tsia mona.

{Nsangu, ngolo kua Nge, } etc.

3.                       M’kunga 3

Yesu, Nge kakudi tsieto,

Wa tugana, mu mpasi zaku,

N'kululu ya mankululu.

Mfumu, yokele mu nkembo,

Mu Nge beto tue na nungunu,

Lusakumunu na nsayi.

Vukisi tsia n'talu,

Zakalé ku zulu,

Nge wa mbote

Mu n'tsalulu.

Ta m'kundeno,

Ta m'sikeno

Mu mvu ya mvu..

4.                       M’kunga 4

M’kunga 4 — buku 1

Nkembo kue Tata Nzambi ! (x2)

Wa kubika ku zulu

Kiandu kia kondo kue mbazi.

Mvukulu mu Nge yena, (x2)

Matondo masakila,

Zola, nsangu, kue Nzambieto.

M’kunga 4 — buku 2

Nkembo kue Muana meme ! (x2)

Wa bonga buka tsieto

Ga kulunsi, mu tu kula.

Satana ba mu nunga, (x2) ;

Yesu, Kakudi tsieto,

Kue Nge tu tâ gana nkembo.

M’kunga 4 — buku 3

Nsangu kue Yesu Kristo ! (x2)

Kue Nge ngolo, buzitu,

Kue Nge kimfumu na nkembo !

Ntangu ba sidi ntangu, (bis)

Ta kembeleno Nzambi,

Wa tu tambudi mu Yesu.

5.                       M’kunga 5

M’kunga 5 — buku 1

Mu luzolo lua Tata Nzambi,

Tu kutakané mu Yesu ;

M'nua mieto mbo mi sakumuna

Luzolo lua kondo nsuka.

Nkembo kua Nge, Tateto Nzambi !

Nkembo kua Nge m'kua luzolo !

Bala baku baua kakula mu m'bi

Bakumbisi nkumbuaku ye nsangu.

M’kunga 5 — buku 2

Ntete Nge wa sala m'toto nsi

Wa kubika buka tsieto

Ga luse luaku ku mazulu

Mu nkembo wu lembo suka.

Nkembo kua Nge, Tateto Nzambi !

Nkembo kua Nge m'kua luzolo !

Bala baku baua kakula mu m'bi

Bakumbisi nkumbuaku ye nsangu.

M’kunga 5 — buku 3

Dzunu, bimvuama bia kuzulu

Biena bia beto mu Yesu.

Ntangu ya mbila ya kimpuanza

Ni yawu yo, kubameno !

Nkembo kua Nge, Tateto Nzambi !

Nkembo kua Nge m'kua luzolo !

Bala baku baua kakula mu m'bi

Bakumbisi nkumbuaku ye nsangu.

M’kunga 5 — buku 4

Tata ! Lundzi tsia bala baku

Tsi fukamane mu kunda

Bunene bua luzolo luaku,

Ah ! Yesu Kristo, sa m'sualu !

Nkembo kua Nge, Tateto Nzambi !

Nkembo kua Nge m'kua luzolo !

Bala baku baua kakula mu m'bi

Bakumbisi nkumbuaku ye nsangu.

6.                       M’kunga 6

M’kunga 6 — buku 1

Ta tangileno Nzambi nkunga

Mu wakasa nsangu zandi.

Nzambi ya luzolo, ya dzunu,

Wa zibula ndzila zulu.

Bueso bua buingi ka tu geni,

Beto mbangi zé na zingu.

Mu ntsakati ta kumbiseno

Nzambi Tateto mu Yesu.

M’kunga 6 — buku 2

Bilundzi bieto bi zangudi

Nzambia Mpungu we na zola.

Tu tsigeni mu m'tima mieto

Kue Nge na tê mu mvu ya mvu.

Ngolo, zola, m'lemvo na ngangu,

Bi vukane mu Nzambieto.

Ntsiangu dibundu die na vuvu

Mu zingu tsia mankululu.

7.                       M’kunga 7

M’kunga 7 — buku 1

Nkembo kua Yesu Kristo,

Muana wa mosi wa Tata.

Mu tu kakula mu m'bi

Yandi wa kôka ga m'toto !

Mfumu Yesu! Kembosua

Buabu te mu mvu ya mvu,

Mfumu Yesu! Kembosua

Buabu te mu mvu ya mvu.

M’kunga 7 — buku 2

Muana meme wa n'longo,

Wa fua mu lufua lua mpasi ;

Ga manima wa nunga

Mpiema mu ngolo za Nzambi,

Wa manisa lulendo

Lua lufua na lua m'tantu,

Wa manisa lulendo

Lua lufua na lua m'tantu.

M’kunga 7 — buku 3

Nge tomono tu zolo.

Wa nua mbungu ya luvuezo,

Mu gana kue bilandi

Mbungu ya lusakumunu ;

Mfumu Yesu ! Kembosua

Buabu te mu mvu ya mvu,

Mfumu Yesu ! Kembosua

Buabu te mu mvu ya mvu.

8.                       M’kunga 8

M’kunga 8 — buku 1

Kembeleno mu dibundu,

Yesu zololo bantu !

Wa tsi gana mu tu kula,

Beto, Yesu tu vuidi.

Ntantama mbo ka kotesa

Bimeme biandi mu nzo

Ya Tata Nzambi, mu nkembo:

Mu ba neto kintuadi.

M’kunga 8 — buku 2

Nkembo kue Mfumueto Yesu !

Mpasi zeto mbo zi wa,

Bu tu kota ku mazulu

Ku lembolo bidzilu.

Mu mvumbukulu ya nitu,

Mu zingu tsi lembo wa,

Dibundu mbo di zangula

Muana meme wa n'longo.

M’kunga 8 — buku 3

Kembeleno mu dibundu,

Yesu kakudi tsieto.

Yandi zebi mpasi zeto :

Mu m'timandi beto tue.

Ntangu ni mu diata yena,

Ta beno tsiana Yesu ;

Ta luateno buderede

Mu zitisa Mfumueto.

9.                       M’kunga 9

Kue yandi wa tu sukula

Mu menga mandi ma n'talu,

Kimfumu tsi yokele nkembo !

Muana meme fuanakane

Mu tambula nsangu, ngolo,

Nzitusu, mayela na ngangu,

Nzitusu, mayela na ngangu.

10.                  M’kunga 10

M’kunga 10 — buku 1

Yesu Kristo fuani tsia Tata Nzambi !

Muana Nzambi, mbazi mbo zi m'kunda...

Nkembo kua Nge ga m'toto nsi wa bantu,

N'sangu kua Nge wa lungisa m'tsieno.

M’kunga 10 — buku 2

Nge wa sisa kimfumu kia mazulu.

M'kaïluaku wa kumbisa Nzambi ;

Buderede, bulongo, na luzolo,

Kulunsi dia Yesu dia songa bio.

M’kunga 10 — buku 3

Wa nanguka, mu ngolo zaku Yesu,

Ku mazulu, mu kota mu nkembo ;

Tu ku muini mu nkembo wa wu nene,

Nge, Muana muntu, wa nunga lufua.

M’kunga 10 — buku 4

Nkembo kua Nge wa nata mpu ya nsende ;

M'tima mieto, mi bambuka mpasi...

Mfumu Yesu! Lufua luaku lua mpasi,

Nkembo, nsangu, nzitusu kua Yesu.

11.                  M’kunga 11

M’kunga 11 — buku 1

M'lemvo na nkembo kue Nzambi bie,

Nzambi, ya luzolo ! Luzolo lua n'talu

Nkumbuak'ya be nsangu mu mitima mieto;

Nsayi kue bô basidi vuvu, (x2).

M’kunga 11 — buku 2

Wa tu gana kabu dia m'lemvo

Di tu gana dzunu, dzunu mu mitima ;

Nsayi yi yokele : ndzila ya zibulu

Ga luse lua Tateto Nzambi, (x2)

M’kunga 11 — buku 3

Kue beto nkembo wa mvu ya mvu,

Ku mbanza ya nkembo : kue Yesu kimfumu.

Mbo tu ba na Yesu, mu nsayi, mu kiese ;

Beto, mbutu za buta Yesu, (x2).

M’kunga 11 — buku 4

Nzambi ya m'lemvo na ya nkembo,

Nge zololo bantu ba wa gana Mpeve ;

Tuizidi mu kunda, mu nkumbu ya Yesu,

Kakudi tsieto mu masumu, (x2).

12.                  M’kunga 12

M’kunga 12 — buku 1

 

M’kunga 12 — buku 2

Jina lako lisifiwe, Neema yako

Iliyotujia katika uzuri

Tulikuwa gizani sasa uso wako

Waleta mishale ya nuru mioyoni.

M’kunga 12 — buku 3

Tupo wana wako, jina nzuri la Baba

Latujaza heri, hakika, amani

Roho wako mhuri, mwangaza na Mwalimu

Na karibu nawe tumekubaliwa.

M’kunga 12 — buku 4

Ni mapendo yako, kifo, uhai wako

Vilivyotuletea hii sehemu

Kila moja wetu asisahau kamwe

Kwamba tulitakaswa ili tumukuze.

13.                  M’kunga 13

M’kunga 13 — buku 1

Ukamilifu usiyoweza kusemwa

Wa uwezo, mapendo, hakiba’siyokwisha, – isiyokwisha

Mwana wa Mungu milele !

Utukufu wa mbinguni

Kwa amani yako, Kanisa lako pe ndwa

Lainama kuabudu (ter)

M’kunga 13 — buku 2

Wakaa ee Yesu, kwa kuume kwa Baba

Ukivikwa uwezo, nuru, utukufu – na utukufu

Mungu wetu (bis)

Mioyo zetu (bis)

Yainama mbele yako kwa kutii

Pia kukuinua (ter).

14.                  M’kunga 14

M’kunga 14 — buku 1

Mbinguni kwa kiti cha Baba

Twakuona ee Mwokozi

Pumzikoni vile nuruni

Una uwezo na ku’ngaa

Kazi ya neema imekwisha:

Umekaa patakatifu ;

Juu utukufu umepewa

Watawala juu ya vyote.

M’kunga 14 — buku 2

Twashinda kwa ushindi wako

Yesu Mwokozi muweza,

Juu katika utukufu

Umetangulia wako !

Tuna tumaini la mbingu,

Linalokutegemea

Tuna uhakika wa roho

Ni Musingi wa imani.

M’kunga 14 — buku 3

Sifa kwa kichwa cha kanisa!

Bibi arusi mupendwa

Pande zako punde atakaa,

Akibariki milele

Wewe Bwana mwenye uzuri

Tutakaofurahia,

Na pendo lako la ajabu

Litakuwa siku zote.

15.                  M’kunga 15

M’kunga 15 — buku 1

Mungu wa pendo na neema!

Twafurahi kukutana

Mbele ya uso wako mzuri

Kuabudu na kubariki

Na Katika salama yako

Kweli Upewe ibada,

Iletayo mashukurani,

Marashi : jina la Yesu.

M’kunga 15 — buku 2

Bwana ingia nafsi zetu

Na wema wako wa ajabu,

Utuwashie moto wako

Wa pendo lako Ee Bwana ;

Ndipo sifa zitatokea

Mioyoni mwetu kwa Roho

Ili tuimbe rehema zako

Na pendo ndani ya Yesu.

M’kunga 15 — buku 3

Tunapenda kuketi pale

Twawekwa na kazi  yake

Na tunafuata nyayo zake,

Hadi mbinguni alipo

Ni pahali patakatifu

Ambapo mlango ni wazi

Sifa za waamini zapanda

Kwako  kupitia Yesu

16.                  M’kunga 16

M’kunga 16 — buku 1

Umoja wa Kanisa wapendeza

Bwana Yesu, wakufurahisha

Kwa kulipenda ulijitolea

Wataka liwe nawe mbinguni

M’kunga 16 — buku 2

Roho yako Yesu yatukusanya

Karibu nawe katika pendo

Heri gani kukuabudu pamoja

Twatangaza kufa na kurudi

M’kunga 16 — buku 3

Ni kutamu ndugu wakikuabudu

Roho wako akiwa kiongozi

Katika nyimbo na maombi yetu

Tunayokutolea pamoja.

M’kunga 16 — buku 4

Ni kweli palipo uwepo wako

ukileta uhuru moyoni

kila mwamini katika amani

asikia nguvu, uhakika.

M’kunga 16 — buku 5

Na Itakuwaje kwa mukutano

Mbinguni kanisa litakuona

Furaha gani isiyo na mwisho

utukufuni likikuabudu.

17.                  M’kunga 17

M’kunga 17 — buku 1

Ulitualika, tena kwa siku hii

Mwokozi Muabudiwa ili tulishwe

Katikati ya jangwa, wajenga meza hii

Kumbusho la pendo lako (bis).

M’kunga 17 — buku 2

Kando yako, Bwana,kanisa lazunguka

Kukumbusha kifo chako hadi urudi,

Twavunja mukate, tunakunywa kikombe,

Kumbusho la pendo lako (bis)

M’kunga 17 — buku 3

Uovu wetu ulikulemea kichwani

Mzigo wa uchungu na muzito sana;

Lakini kwa amani, tunasherekea

Kumbusho la pendo lako (bis)

M’kunga 17 — buku 4

Tukionja mkate huu, na kinywaji hiki

Vinaelekeza macho yetu juu.

Na Punde tutamaliza safari yetu

Tutatambua u pendo (bis)

M’kunga 17 — buku 5

Asante Yesu, Mwokozi na Mwaminifu!

Bila kivli tutakuona mbinguni

Na tutatukuza, kwa sifa ya milele,

Ukubwa wa pendo lako (bis)

18.                  M’kunga 18

M’kunga 18 — buku 1

Mbele ya kiti cha baba

Akaapo kwa heshima

Jicho letu latazama

Uzuri wako Bwana

Utukufu ulio nao

Ndani ya ku’ngaa kwako

Watuangazia kweli ndani ya mioyo yetu

M’kunga 18 — buku 2

Kungaa kwa uso wako

Siko  kuvutiapo tu

Kwani neema yako kubwa

Yaangaa usoni mwako

Kwa neema ulishuka

Duniani mwa uasi

Ulipotuchukulia maovu  hata  zambi

M’kunga 18 — buku 3

Nafsi yashangaa sana

Juu ya upendo huu

Ulio mukubwa sana

Hauna hata mpaka

Hivyo sisi twatamani

Kurudi kwako hapa

Ili tuone, tutamke

Makuu ya pendo lako.

19.                  M’kunga 19

M’kunga 19 — buku 1

Tukaribie na kwa nyimbo zetu

Mwana Kondoo mupendwa akuzwe

Alishinda na alifufuka

Tutangaze makuu yake yote

Sisi wenye : kupendwa na Kristo (bis)

M’kunga 19 — buku 2

Alitufilia kama sadaka

Tukapokea upendo wake

Kwa kutuokoa katika giza

Alikubali fimbo za uhaki

Akafanywa : chukizo, laana (bis)

M’kunga 19 — buku 3

Twakuabudu sadaka ya toleo

Wewe ulitununua sisi

Tukumbushapo kifo, mateso

Tunangoja siku yakuonekana

Mbinguni : kama bibi arusi (bis).

M’kunga 19 — buku 4

Tunasherekea kwa meza hii

Pendo la Kondoo uliyechinjwa

Kwako roho zetu zinalindwa

Zikionja salama na uheri

Na kwa bei ulivinunua : ulivinunua (bis).

20.                  M’kunga 20

M’kunga 20 — buku 1

Mbele ya kiti cha neema

Twakuabudu Mungu wetu

Tukiingia patakatifu

Kwa njia ya Yesu Kristo.

M’kunga 20 — buku 2

Mkate wa juu ushibishao

Ni chakula chetu kweli

Ndani ya Yesu tumepewa

Uzima unaodumu.

M’kunga 20 — buku 3

Pa’li pa kikombe  kikali

Ulichomunywesha, Mungu

Mwokozi mwema na mupole

Ametupa cha wokovu.

M’kunga 20 — buku 4

Kwa sauti ya malaika

Tukinyakuliwa juu

Tutamuimbia sifa zake

Tutamuona…  siku nzuri !

21.                  M’kunga 21

M’kunga 21 — buku 1

Yesu sadaka ya Mungu

Ulishuka duniani

Ukafunga ile shimo

Itutengayo naye.

M’kunga 21 — buku 2

Ukavaa mwili wa mutu

Ukateswa kabisa ;

Kwa Kuokoa kiumbe

Ukapata uchungu.

M’kunga 21 — buku 3

Ni wewe hekima yetu

Uhai na salama

Kimbilio kwa mateso

Wokovu wa milele.

M’kunga 21 — buku 4

Ee Mwokozi mwaminifu

Twabaki ndani yako

Hadi uzima milele

Waishi tutaishi.

22.                  M’kunga 22

M’kunga 22 — buku 1

Kwa kutuokoa, Bwana wa uzima

Alisumbuliwa na kuaibiwa

Sifa kwake  Mwana

Sifa kwako Kondoo

Pokea mioyo yetu, mshahara wako

Ulioupewa, kwa mlima kalvari.

M’kunga 22 — buku 2

Kifo chako Yesu, kikaosha zambi

Ukafunga shimo kwa miguu yetu

Sifa kwake Mwana

Sifa kwako Kondoo

Twakusifu Bwana, ulitupa amani

Heri, ukombozi kwa mateso yako.

M’kunga 22 — buku 3

Kututajirisha, mwenyewe mbinguni

Ukawa  maskini, wewe Mungu  mkubwa

Sfa kwake Mwana

Sifa kwako Kondoo

Pokea mapendo na heshima zetu

Viwe kwako Mungu pasipo mwengine.

M’kunga 22 — buku 4

Mema ya pendo lako Mchungaji wetu

Unatuandalia meza kila siku

Sifa kwake Mwana

Sifa kwako Kondoo

Wapendwa wako Bwana wanafurahi

Wakionja pendo na matunzo yako.

M’kunga 22 — buku 5

Kwa amani twafwata uriti wetu

Wewe ni sehemu yetu kwa milele

Sifa kwake Mwana

Sifa kwako Kondoo

Mukombozi Mungu, unayetupenda

Upewe nguvu, ufalme na heshima.

M’kunga 22 — buku 6

Milele na milele tutakusifu

Pendo lako kubwa na ushindi wako

Sifa kwake Mwana

Sifa kwako Kondoo

Pokea mioyo yetu, mshahara wako

Ulioupewa, kwa mlima kalvari.

23.                  M’kunga 23

M’kunga 23 — buku 1

Nani atatukuza, nani atatambua,

Pendo lililokushusha toka mbinguni

Kwenda Getsemane,...Golgota ya damu

Pale ulipochomwa mkuki na Mungu.

M’kunga 23 — buku 2

Siyo wale, Bwana, majeshi wa mbinguni,

Ama vile vyote ambavyo uliumba

Ama urefu wa bahari na mbingu,

Vitakavyotukuza upendo wako.

M’kunga 23 — buku 3

Yesu ! Pendo lako na neema yako nzuri,

Nani atavikuza ? ni sisi waovu tu

Uliofanya wafalme, makuhani,

Kwa ajili yao ulionja kifo.

M’kunga 23 — buku 4

Wakombolewa tu, kwa raha takatifu,

Wataimba wema wako na kubariki.

Uliwanunua, Ee Yesu, kwa damu

Watakuwa nawe milele mbinguni.

24.                  M’kunga 24

M’kunga 24 — buku 1

Twakuona ukiangaika

Ukinywa kikombe kile

Tunakuona ukijitoa

Mtakatifu kwetu waovu.

M’kunga 24 — buku 2

Kifo chako sadaka safi

Tukitazame daima

Damu yako ilituosha,

Ikatufungulia mbingu.

M’kunga 24 — buku 3

Pendo lako ni kubwa Kristo

Linagusa mioyo  zetu

Ulifilia ulimwengu

Wewe ndiye Mwokozi wetu.

25.                  M’kunga 25

M’kunga 25 — buku 1

Kama Kondoo ulikufa, Yesu

Kwa zambi zetu, Mukombozi wetu

Pendo gani ? ni pendo la ajabu

Kwa kutuokoa, Yesu ukafa.

M’kunga 25 — buku 2

Kwa ule wakati zambi zetu

Zilikuletea azabu kali

Kwa kufa ukavunja minyororo

Ukatuletea neema, raha.

M’kunga 25 — buku 3

Amen ! Bwana ! Uwezo na sifa

Kwako heshima, hekima, ufalme

Tangu sasa tunasema na wewe :

Ubarikiwe Ee Mukombozi.

26.                  M’kunga 26

MwanaKondoo uliteswa

Ukachukua taabu yetu

Na ukatufanya kwa Baba

Wafalme na makuhani

Pamoja tunakuheshimu

Twakusifu na kukuinua

Nguvu, ufalme pia kutii

Mioyoni tunakuabudu

Amen ! Amen ! Bwana ! Amen.

27.                  M’kunga 27

M’kunga 27 — buku 1

Twakuona utukufuni

Ee Mwokozi !

Tukionja ushindi wako

Mwenye nguvu

Milele pamoja na Mungu

Kwa kuume kwa Baba Mungu

Uliyeshuka duniani

Na upole.

M’kunga 27 — buku 2

Kwa sisi ukawa laana

Ee Mwokozi !

Ukateswa zaidi sana

Ee Mwokozi !

Damu ’katoka mbavu zako

Ukatuondolea zambi

Kwa kufa kwako tunaishi

Ee Mwokozi.

M’kunga 27 — buku 3

Tunakungoja toka mbingu

Ee Mwokozi !

Ulisema waja kututwaa

Yesu mweza !

Furaha isiyo na mwisho

Yakutazama sura yako

Na vile yakukufanana

Ee Mwokozi.

28.                  M’kunga 28

Yesu, neema, damu yako

Na musalaba wako

Kungaa kwa uso wako

Vyatupatia haki

Nafsi yetu yapumzika

Ndani yako Mwokozi

Wewe mwanzo na chemchemu

Ya uheri milele.

29.                  M’kunga 29

M’kunga 29 — buku 1

Katupenda mpaka kufa

Mwokozi wa mapendo

‘Katushindia shetani

Hadi kwa ngome yake, (bis).

M’kunga 29 — buku 2

Namna vilikulemea

Pekee kwa saa ya giza

Kuachwa pia na hofu

Ya zambi zetu nyingi, (bis).

M’kunga 29 — buku 3

Sasa fujo ya mawimbi

Yaliyokufikia

‘katuletea pumziko

Ya kazi yako nzuri, (bis).

M’kunga 29 — buku 4

Kando yako wateule

Wako hapa duniani

Sasa wanaonja raha

Ya nyumba yake Baba, (bis).

30.                  M’kunga 30

M’kunga 30 — buku 1

Kondoo wa Mungu Kristo akafa

Mutini (bis)

Pazia pale ’kapasuka

Kwa muti (bis)

Kwa patakatifu sana,

Mbele ya Mungu twafika

Kwako Yesu uliyejitoa

Mutini (bis)

M’kunga 30 — buku 2

Uliinuliwa toka chini

Mutini (bis)

Ulikunywa kikombe chetu

Mutini (bis)

Kwa pendo ‘kakimaliza

Damu yako ilituosha

Tumeokoka kwa milele

Kwa muti (bis)

M’kunga 30 — buku 3

Hayani sifa zako ‘kangaa

Mutini (bis)

Yesu uliupata ushindi

Mutini (bis)

Milele upewe  nguvu,

Heshima na sifa nyingi

Kwa sababu ulishinda

Mutini (bis)

31.                  M’kunga 31

M’kunga 31 — buku 1

Nyimbo za mbinguni

Ni nzuri sana

Vinanda na nyimbo

Jaeni mbingu

Kwa nafasi kubwa,

ule wimbo mpya

Daima waanza

Kando ya Kondoo.

M’kunga 31 — buku 2

Kwa kiti cha enzi

Tutakuona

Ukivikwa taji

Za kila aina

Na mikono yako

Inaonyesha

Ginsi uliteswa

Kwa musalaba

M’kunga 31 — buku 3

Neema ya milele!

Uliye chinjwa

Ukajitolea,

‘Kamwanga damu

Kwa patakatifu,

Uheshimiwe

Mungu Baba yako

Aabudiwe.

M’kunga 31 — buku 4

Nyimbo za mbinguni

Ni nzuri sana

Vinanda na nyimbo,

Vyajaa mbingu

Heshima na nguvu,

Kuzo milele

Kwa Mungu mushindi,

Na Kondoo wake.

32.                  M’kunga 32

M’kunga 32 — buku 1

Mwana wa Mungu, wa ajabu

Waonekana  usoni

Upendo muzuri wa Baba

Hata sifa zake nyingi

Washika dunia mkononi

Uliitosha utupuni

Vyote vinaimba Hekima,

Na kuzo lako Muweza.

M’kunga 32 — buku 2

Mbele ya Baba kifuani

Wamupendeza daima

Mupo mumoja uwezoni

Mupo mumoja pendoni

Ulipenda, siri ya ajabu

Kutoka patakatifu

Kuja dunia yenye zambi

Ili ufe Mwana Kondoo.

M’kunga 32 — buku 3

Upendo, neema ya ajabu

Twakuona Mutu, Mungu

Kwa sanduku hadi kalvari

Ukifwata njia chungu

Mugeni, ulikataliwa

Hata na walio wako

Ukanywa kikombe kichungu

Shambani mwa Getsemane.

M’kunga 32 — buku 4

Ukabeba, Mwana Kondoo

Kwa saa za giza mutini

Hukumu ya makosa yetu

Pia gazabu ya Mungu

Ee Bwana tutakutukuza

Milele kule mbinguni,

Na roho zetu zitaimba

Pendo lishindalo kifo.

33.                  M’kunga 33

M’kunga 33 — buku 1

Yesu rafiki yetu mkubwa

Pendo gani !

Atupenda kushinda ndugu

Pendo gani !

Jamaa, rafiki, wanapita

Heri yaja na kutoweka

Moyo wake tu hauchoke

Pendo gani

M’kunga 33 — buku 2

Yu uzima wetu milele

Pendo gani!

Na kwa milele tutukuze

Kazi yake !

Kwa damu yake tumeoshwa

Alipotukuta jangwani

Kwa neema akatuokoa

Pendo gani !

M’kunga 33 — buku 3

Alijitoa kama zabihu

Pendo gani!

Anapenda kutubariki

Pendo gani!

Nafsi yetu imusikie

Kwa amani, kamwe, isiogope

Iishi karibu na Yeye

Kwa upendo.

34.                  M’kunga 34

M’kunga 34 — buku 1

Kazi ya milele, tutakapo pumzika

Bila mwishowako watakuabudu

Wakitupa taji juu ya miguu yako

Wakistaajabu na watainama, (x2).

M’kunga 34 — buku 2

Tutautazama uso wa Muabudiwa,

Uzuri wa Mwokozi, Bwana Arusi

Na tutavumbua fumbo isiyopimwa

Ya neema na mapendo bila mpaka, (x2).

M’kunga 34 — buku 3

Kwako pekee Yesu, kwa nuru yako nzuri

Wewe jua la haki liangazalo

Kanisa litavaakatika utukufu

Nuru safi ya ukamlifu wako, (x2).

M’kunga 34 — buku 4

Utaona pekee lile unalotaka !

Tunda kamili la kazi ya msalaba

Utafurahia kazi ya nafsi yako

Mapendo yako Mungu yatatosheka, (x2).

35.                  M’kunga 35

M’kunga 35 — buku 1

Twaishi kwako, chemchemu njema

Tufurahie nuru yako

Kukuona mbele ya Baba

Yesu, pumziko ya roho yetu.

M’kunga 35 — buku 2

Mungu alitutolea Yesu

Na kwake akaleta amani

Akapendezwa na uhaki

Deni yetu kweli imelipwa.

M’kunga 35 — buku 3

Tuna heri, Bwana wema wako

Umetufungulia mbingu

Na mukristo kwa utulivu

Aingia kwani ameokoka.

M’kunga 35 — buku 4

Kwa nini tusikupende Yesu ?

Uliyejitolea kwetu

Wewe ambaye pendo lako

Laja kila siku mbele yetu.

36.                  M’kunga 36

M’kunga 36 — buku 1

Watufunza, watufariji

Yesu ukiwa mbinguni

Kwani Roho na neno Lako

Vyabaki na wateule.

M’kunga 36 — buku 2

Twasikia sauti yako

Kupitia neno Lako

Roho wako hufahamisha

Agusa moyo na macho.

M’kunga 36 — buku 3

Kumbukumbu La pendo Lako

Lafikiawalio wako

Katika Jangwa watukuzwa

Twaonja mema ya mbingu.

M’kunga 36 — buku 4

Hilini Neno La uzima,

Kama tunda La Eskoli

Linalotupatia nguvu

Jangwani tulikulapo.

M’kunga 36 — buku 5

Muda kitambo kazi yake

Itakwisha kwa kundi hii

Tutakapo kuona nuruni

Tutazungumuza nawe.

37.                  M’kunga 37

M’kunga 37 — buku 1

Yesu, Nguvu, Mwamba wangu

Mwokozi wangu mkuu

Adui hawataweza

Nikilindwa nawe.

M’kunga 37 — buku 2

Kwa Neema ulinisamehe

Umenipa mbingu

Ninazungukwa na nguvu

Imani yatosha.

M’kunga 37 — buku 3

Wewe ndiye Mukombozi

Na mwenye upendo

Wewe ni uheri, sifa

Na Mwokozi wangu.

38.                  M’kunga 38

M’kunga 38 — buku 1

Neno lako ni aminifu

Bwana halipite kamwe

Nafsi yangu iliaminiyo

Haitaogopa tena.

M’kunga 38 — buku 2

Ninajuwaee wazo nzuri

Miongoni mwa kondoo zako

Hakutapotea yoyote

Mchungaji uliahidi.

M’kunga 38 — buku 3

Wana wa pendo lako kubwa

Tupokifuani mwako

Hata dunia na kuzimu

Havitatutosha kwako.

39.                  M’kunga 39

M’kunga 39 — buku 1

Bwana wangu mwema

Uliniponya

Nipo mushahara

Kwa kazi yako

Nilikuwa mnyonge

Sasa ni wako

Neema yako nzuri

Kaniokowa.

M’kunga 39 — buku 2

Chunga kwa rehema

Nafsi milele

Katika furaha

Na usalama

Unishike mkono,

Nisilegeye

Nichunge daima

Karibu nawe.

40.                  M’kunga 40

M’kunga 40 — buku 1

Ni ndani ya Mungu

Kwa tumaini lote

Mioyo yapumzika

Uvumilivu wako,

Rehema yako kubwa

Vinanionyesha

Matunzo ya pendo.

M’kunga 40 — buku 2

Ni kutamu kwangu !

Kuwa wewe ni Baba

Yu nami popote

Waniangazia neema

Wapokea maombi

Unanitazama,

Wanipa imani.

M’kunga 40 — buku 3

Salama na pendo

Furaha kamilifu

Ni vyangu milele

Naona mbele yangu

Njia nzuri ya raha

Ni ya utukufu

Yaenda mbinguni.

M’kunga 40 — buku 4

Bwana niongoze

Ukinishika mkono

Linda nyayo zangu

Mungu kwa pendo lako

Nguvu, hekima yako

Vinatuzunguka

Ni msaada wa nguvu.

41.                  M’kunga 41

M’kunga 41 — buku 1

Nikufikilipo Bwana

Pia neema yako

Moyo wangu wafurahi

Kwani utakuona, (x2).

M’kunga 41 — buku 2

Hata kama ninachoka

Ninasonga mbele tu

Kama mahali pakavu

Kunakoota miiba, (x2).

M’kunga 41 — buku 3

Hata adui ni wengi

Kwa kunishambulia

Kwa mitego ya hatari

Wanizunguka sana, (x2).

M’kunga 41 — buku 4

Ninaweza kila siku

Kufuata njia yako

Na kwa pendo lako kubwa

Kuonja lifaalo, (x2).

M’kunga 41 — buku 5

Bwana, pumziko na Mwamba

Wokovu, haki yangu

Wanikaribia mimi

Wanipendeza mimi, (x2).

M’kunga 41 — buku 6

Yesu, Mukombozi wangu

Nijaze uhodari

Wezesha mtumishi wako

Akuwe mwaminifu, (x2).

M’kunga 41 — buku 7

Hadi siku wateule

Washindi ndani yako

Wakivaa kanzu nyeupe

Watakuona kuzoni, (x2).

42.                  M’kunga 42

Tumutazamie Yesu,

Bado kitambo Mwokozi

Atarudi toka mbingu,

Katika kungoja kwa heri

Nafsi zetu ziwe tayari

Tuwe macho, tusilale

Wakristo, Mwokozi aja.

43.                  M’kunga 43

M’kunga 43 — buku 1

Kamwe sitapungukiwa

Kwani Bwana ni Mchungaji

Ninaishi chini ya gongo

La asiyebadilika

Kweli Yesu ulinitia

Miongoni mwa kondoo zako.

M’kunga 43 — buku 2

Ulinipa salama yako

Najua ulinipenda

Nikipita katika moto

Najua sitaungua

Macho yako ni juu yangu

Ongoza yangu juu yako.

M’kunga 43 — buku 3

Bwana nikukaribiapo

Sioni woga yeyote

Neema yako ni mwamba mkubwa

Kimbilio haki kwangu

Ulinishika mkononi

Shetani hata nitosha.

44.                  M’kunga 44

Tufurahi wakristo, (bis) ;

Bado kitambo Yesu,

Ndani mwetu atatukuzwa

Bwana utarudia, (bis)

Tutakutana nawe

Na tutaishi ushindi.

45.                  M’kunga 45

M’kunga 45 — buku 1

Siku gani tutaona

Kanana ya mbinguni ?

Juu ya mbingu mwasikia ?

kristo anatuita.

Na tutaishi naye,

zoruba itakoma

Tutaimba kwa milele

wimbo wa salama.

{Heri kamilifu, Uheri, uheri

Heri kamilifu, Pumziko ni Bwana

Kanisa litakapokusanyika mbinguni

Litaimba bila mwisho :

Sifa kwake Kondoo.}

M’kunga 45 — buku 2

Wateule wataona,

utukufu wa Kristo

Wakiwa wamefufuka,

watamshuhudia

Wakisifu ushindi,

kazi ya musalaba

Pamoja kando ya kiti,

tutampa naziri.

M’kunga 45 — buku 3

Kama kule juu mbinguni,

mwenye zambi akitubu,

Malaika kwa umoja,

wabariki Bwana

Itakuwa furaha,

wakati kundi lake

Litakapo kombolewa,

nakushinda vyote.

M’kunga 45 — buku 4

Kanana ni fasi nzuri,

Ni inchi ya ahadi

Tukikusanywa na Mungu,

kwa upendo wake

Tutaimba milele

wimbo wa kufurahi

Utasikika mbinguni,

Milele daima.

M’kunga 45 — buku 5

Siku hiyo ya milele,

itaangaa asubui

Sote katika umoja

Na mapendo pia

Na tutasema tena

Na yule Muabudiwa :

Mwana Kondoo astahili

nguvu na mamlaka

{Heri kamilifu, uheri, uheri} etc.

46.                  M’kunga 46

M’kunga 46 — buku 1

Ta landeno Mfumu Yesu

Mu ndzila ya sinuku.

Yandi wa lungisa m'tsieno

Mu nsalulu za mbote ;

Tuendeno kue Mfumu Yesu

Mu diata mu kedika,

Ndzila mpfinka, ndzila zingu

Tsilembo wa mu Yesu.

M’kunga 46 — buku 2

Nsayi kue bala ba Nzambi :

Ba ngâ luwilukulu ;

Bawu ba vutu butuka

Mu mambu na mu Mpeve.

Nzambi mbo ka gana lenda

Kue bilandi bia Yesu

Mu bika bifu bia ntama

Mu diata mu busantu.

M’kunga 46 — buku 3

Ntontolo ze ga m'toto nsi :

Nkundi ta sikameno.

Mu ntangu ya mpfietokoso,

Ta landeno Vukisi ;

Ta luateno binuanunu

Mu kambidila m'tantu,

Mu landa ndzila ya Nzambi,

Mu ntsalulu za mbote.

M’kunga 46 — buku 4

Nsuka ya ndzila ya Nzambi

Ku gata dio dia nkembo,

Kuna ku ngenga tsidzidi

Tsia Yesu, Muana Muntu.

Mu nkembo, ga ntadisiaku,

Mbo tu ku kunda Yesu ;

Mbo tu tsituka ntsiana Nge :

Mbo tu ba mpila mosi.

47.                  M’kunga 47

M’kunga 47 — buku 1

Mfukamane ga malu maku,

Ntsiana Marie, mu longoka ;

Mu dzunu tsie ni dingi dingi,

Yesu ndzololo na ku wà.

M’kunga 47 — buku 2

Mfukamane, ndzié mu bunsana,

Mu ntontolo na mu mpasi ;

Bomba m'timani : ku ntindisa,

Ku nkusuna mansangaza.

M’kunga 47 — buku 3

Mfumu Yesu, ga malu maku

Ndzololo ba, mu ku kunda

Kintuadi na mbazi za zulu :

Nzangudi Muana wa Nzambi.

M’kunga 47 — buku 4

Mfumu, bonga m'kaïlu mieto

Mi tukidi kunsia m'tima :

M'dingi we na nsunga ya mbote,

Wu bele mu ngula yuki.

48.                  M’kunga 48

M’kunga 48 — buku 1

Nkembo, ngolo, kue Nzambieto,

Buzitu bua mvu ya mvu ;

Ta vutuleno matondo

Kue Yesu Kivukisi !

M’kunga 48 — buku 2

\Ba ku luika mpu ya nsende,

Menga maku ma ntalu

Ma tsamuka ga kulunsi,

Nzambi buka ku semba.

M’kunga 48 — buku 3

Mpasi, kue Nge Yesu Kristo,

Mu bukaka bua lufua :

Mu kakula beto bantu,

Mu tu gana mvukulu.

M’kunga 48 — buku 4

Nkembo, ngolo, kue Nzambieto,

Buzitu bua mvu ya mvu ;

Ta vutuleno matondo

Kue Yesu Kivukisi !

49.                  M’kunga 49

M’kunga 49 — buku 1

Tembo tsia mana pupa

Mu mitima mieto,

Mu katula kidzunu,

Beto wônga pele ;

Tu kadidi bunkuta,

Bungu mu Yesu tué :

Gakimosi na yandi,

Mbo tu nunga m'tantu.

M’kunga 49 — buku 2

Zingu, ga meso meto,

Ntsiana ku mpimpa tsié ;

Nge